Search This Blog

Friday, January 1, 2021

Algeria: Mtoto wa Rais akabiliwa na kifungo cha miaka 15 kwa rushwa


Anayedaiwa kuwa Mtoto wa siri wa Rais wa zamani wa Nchi hiyo, anakabiliwa na kifungo cha miaka 15 baada ya upande wa mashtaka kuomba kifungo hicho kutokana na tuhuma za rushwa na ubadhilifu wa mali

Zoulikha-Chafika Nachinane anayefahamika zaidi kama Madame Maya anakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha, matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya mali ya Umma na kusafirisha kwa njia haramu fedha za kigeni

Upande wa mashtaka umeomba kifungo cha miaka 15 dhidi yake, na miaka 10 dhidi ya binti zake wawili, Imene na Farah




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...