Search This Blog

Wednesday, December 30, 2020

Yanga yawapa pongezi wachezaji wake sita walioitwa kuunda kikosi cha timu ya Taifa


UONGOZI wa Yanga umewapa pongezi wachezaji wake sita ambao wameitwa kuunda kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania,  Taifa Stars kwa ajili ya maandalizi ya Chan, 2021.

Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa wachezaji walioitwa Stars wanastahili pongezi na wa kazi ya kufanya kwa ajili ya kutimiza majukumu ya Tanzania. 

Nyota hao walioitwa ni pamoja na Deus Kaseke, Mustapha Yassin , Ditram Nchimbi, Bakari Mwamnyeto, Feisal Salum  na Farid Mussa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...