Search This Blog

Wednesday, December 23, 2020

Urusi yatuma wanajeshi wake 300 Jamuhuri ya Afrika ya Kati

 

Urusi imetuma askari wa ziada 300 wa mafunzo katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kukabiliana na kile Wizara ya mashauri ya kigeni ya nchi hiyo imesema "kushuka kwa kiwango cha usalama kwa hali ya juu ".

Inasema serikali ya CAR , ambayo inatishiwa namakundi ya waasi kabla ya uchaguzi wa Jumapili wa urais, ilikuwa imeomba usaidizi.

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Urusi Mikhail Bogdanov amesema kuwa wanajeshi wa Urusi hawahusiki katika mapigano katika CAR na kwamba watoa wakufunzi wa kijeshi "sio wanajeshi wala kikosi maalumu".



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...