Search This Blog

Sunday, December 6, 2020

Rais Magufuli asikitishwa na kifo cha Jaji Harold Nsekela


 Rais Dkt. Magufuli ameeleza kusikitishwa na kifo cha Kamishna wa Maadili, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Harold Nsekela.


Dkt. Magufuli ametuma salamu za pole kwa familia na kusema Jaji Mstaafu Nsekela alikuwa mwadilifu, mzalendo, asiyejikweza na mchapakazi


"Nimesikitishwa na kifo cha Kamishna wa Maadili, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Harold Nsekela. Poleni familia, watumishi wote wa Sekretarieti ya Maadili na Mahakama. Jaji Mstaafu Nsekela alikuwa mwadilifu, mzalendo, asiyejikweza na mchapakazi. Mungu amweke mahali pema, Amina" - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Magufuli




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...