Search This Blog

Wednesday, December 16, 2020

Putin ampongeza Biden kwa kuidhinishwa


Rais wa Urusi Vladimir Putin, amempongeza Joe Biden, ambaye aliidhinishwa rasmi kama Rais mpya  wa Marekani.

Kamati ya Uchaguzi ya Marekani imempitisha rasmi Joe Biden kuwa Rais wa 46 wa nchi hiyo.

Shirika la habari la Urusi la Ria lilitangaza kuwa Putin alimpongeza Biden.

Kulingana na matokeo  ya uchaguzi uliofanyika Novemba 3 nchini Marekani, Joe Biden alishinda kwa kupata wajumbe 306 dhidi ya Trump aliyepata wajumbe 232.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...