CHANGAMKIA FURUSA/OFA YA VIWANJA MWAKA 2021.
Habari njema. kutoka SUYUTI LINK TANZANIA tunatoa punguzo
la bei ya VIWANJA Vyetu kati ya VIWANJA 300 Vimebaki 100 TU.
Badala ya kulipia shs. 2,500,000 kwa AWAMU MBILI.
BASI USIWAZE utalipia shs. 2000,000 tu kwa AWAMU MBILI.
Awamu ya kwanza utalipia shs.1,000,000. baada ya hapo tutakupa Miezi miwili (2) KUMALIZIA NUSU ILIYOBAKIA.
mradi wetu upo VIKINDU mjini Mkoa wa PWANI/DAR ES SALAAM .
Mradi wetu upo kilometa moja (1) kutoka barabara kubwa(kilwa road).
HUDUMA ZA KIJAMII.
Huduma zote za kijamii zinapatikana kama vile.
1.Maji Tayari yapo ndani ya mradi wetu
2.Shule za serikalini na za binafsi(ibnu jazzary) zote zipo karibu na mradi wetu
3.Hospitali za serikali na za binafsi zipo karibu na mradi wetu
4.Umeme upo tayari ndani ya mradi ni kuwasha tu na kutumia.
5.Barabara zinapitika masaa 24 bila shida yoyo te
6.Sehemu za ibada zipo karibu na mradi.
7.Eneo lipo tambarare hakuna mabonde.
8.Viwanja vipo kwenye mpangilio mzuri,kwa mipango miji
UKUBWA WA VIWANJA.
1.Sqm 208(40futi & 50futi) bei yake 2,000,000/= Milioni MBILI tu (OKOA PUNGUZO LA LAKI TANO) , Hichi ni ukubwa wa kiwanja kimoja.
2.Sqm 416 (40futi & 100futi) bei yake 4,000,000/= Milioni nne (OKOA PUNGUZO LA MILIONI MOJA) , Hichi ni ukubwa viwanja viwili (2)
3.Sqm 832(80futi & 100futi) bei yake 8,000,000/= milioni nane (OKOA PUNGUZO LA MILIONI MBILI) . Hichi ni ukubwa wa Viwanja vinne(4).
HABARI NJEMA NI KWAMBA UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU MBILI.
MAUZIANO.
Mauziano yote hufanyika ofisi za serikali ya mtaa/kijiji pamoja na kupata HATI ya mauziano ya AWALI kama utalipa CASH na kama utatoa Nusu Utapewa mkataba Yetu Tunayo Tayari. MTEJA wetu atachangia asalimia 5% na sisi 5% ya ushuru wa kijiji .
Habari njema Hakuna UDALALI kwenye biashara hii unanunua kwa wahusika .
MAWASILIANO.
Tupigie Simu 0654 77 39 67 WhatsApp au 0687 83 04 05
MUDA WA KAZI.
Tunapatikana kila siku
Kuanzia asubuhi saa 3 asubuhi hadi saa 10 jioni kila siku.
MITANDAO YA KIJAMII.
Utatupata kupitia mitandao ya kijamii kama (Facebook, Instagram, Twitter, YouTube) kwa jina moja @suyutwilinktanzania
Bonyeza hapa
https://youtu.be/bg-YbfLbvgA
MAZINGATIO.
Hakikisha umekuja kupitia namba zangu hapo juu, Lakini pia wahusika tupo wazi kwa kuonekana sura zetu kwenye mitandao ya kijamii picha zetu.
KARIBU UTIMIZE NDOTO ZAKO ZA KUMILIKI ARDHI KUPITIA SUYUTWI LINK TANZANIA.







No comments:
Post a Comment