Search This Blog

Monday, December 7, 2020

Nandy atolewa barua ya posa


 Nyota wa muziki nchini, The African Princess Nandy ameweka wazi kuwa ametolewa barua ya posa, hivyo kinachofuata ni kuolewa.

Katika ujumbe ambao ameuposti kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nandy amedokeza hilo kwa kifupi. “Nimepokea ujumbe, barua yake imepokelewa nyumbani…… (wife to be ),” ameandika Nandy.

Ikumbukwe #Nandy tayari amevishwa pete ya uchumba na rapa @billnass mapema mwaka huu. Kwa sasa wawili hao wanafanya vizuri na wimbo wao "Do Me"




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...