Search This Blog

Saturday, December 5, 2020

Namungo FC kufuata nyayo za Simba hii leo?


Namungo FC wawakilishi wa Tanzania katika michuano Kombe la Shirikisho la Afrika hii leo watakuwa ugenini nyumbani katika dimba la Azam Complex Chamazi kucheza mechi ya marudio ya kombe hili dhidi ya Al Rabita. 

Namungo wataingia katika mchezo huu wakiwa wametanguliza mguu mmoja hatua inayofuata kwani wana hazina ya magoli 3 - 0 waliyopata katika mechi ya kwanza. 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...