Search This Blog

Saturday, December 5, 2020

Membe aomba msamaha CCM, atangaza kuondoka ACT Wazalendo januari 2021


 Aliyekuwa Mgombea Urais wa ACT Wazalendo na na Mshauri Mkuu wa Chama hicho, Bernard Membe amethibitisha kuwa ni kweli ana panga kujiondoa ACT na amesisitiza kuwa atajiondoa rasmi ACT January Mosi, 2021, Waziri huyo wa zamani wa Mambo ya Nje alijiunga na ACT baada ya kufukuzwa uanachama CCM.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...