Search This Blog

Friday, December 18, 2020

Kenya kupokea shehena ya kwanza ya chanjo ya corona ifikapo January


 Kenya imesema inatarajia kupokea shehena ya kwanza ya chanjo ya corona ifikapo January mwakani, ambapo 30% ya Wakenya watakuwa wamepata chanjo hiyo hadi kufikia March 2021.

Kenya itapokea dozi za chanjo ya Corona zipatazo Milioni 24 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya COVAX kupitia mpango unaosimamiwa na WHO na imeagiza pia dozi nyingine Milioni 12 kwa gharama ya Ksh Bilioni 10 .



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...