Search This Blog

Friday, November 20, 2020

Watumishi wasiowasilisha TIN NUMBER zao hawatolipwa mshahara January

 


Serikai imetangaza Mfanyakazi ambaye hatawasilisha namba ya Mlipa Kodi (TIN) hadi Desemba 31 mwaka huu hatalipwa mshahara wa Januari.

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kutoka TRA, Richard Kayombo amesema, “Kila mwajiri anatakiwa kuwasilisha namba ya mlipakodi ya Mwajiriwa wake kwenye malipo. Mchakato huu utakwisha Desemba 31”.

Kila Mfanyakazi anapokatwa kodi katika mshahara wake, inatakiwa iende TRA ikionesha kiasi kilichokatwa kwa Mtumishi na Namba ya Mlipakodi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...