Search This Blog

Monday, November 30, 2020

Spika Ndugai kuwaapisha Polepole, Lulinda leo

 


Spika wa Bunge, Job Ndugai leo Jumatatu, Novemba 30, saa 9.00 alasiri atawaapisha wabunge wateule, Humphrey Polepole na Riziki Lulinda katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.

Polepole na Lulinda waliteuliwa Jana na Rais Dk.John Magufuli kuwa wabunge ikiwa ni sehemu ya nafasi 10 alizonazo rais kwa mujibu wa Katiba.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...