Search This Blog

Monday, November 30, 2020

Ben Pol afunguka kuhusu kupaka rangi kwenye kucha

 


Mwimbaji Staa wa Bongofleva mmiliki wa ngoma mpya mbili za ‘hii ndio mbaya’ na ‘walimwengu’ Ben Pol ameongea baada ya Watu kuongea kuhusu yeye kupaka rangi kwenye kucha za mkononi.

Ben Pol amesema “zile rangi zilizopo kwenye bendera ya Tanzania, nafikiri kitu kikubwa kinachosumbua wengi ni mazoea, kitu cha muhimu zaidi ni roho ya Mtu, hivi vitu vya kuchora na kupaka sio vya muhimu na sidhani kama ni vitu vinaweza kum-define Mtu”





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...