Search This Blog

Thursday, November 12, 2020

Rais Magufuli afanya uteuzi wa mawaziri wawili

 

Rais Dkt. John Magufuli amemteua Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuanzia leo Novemba 13, 2020. Prof. Kabudi alikuwa akishika wadhifa huo katika baraza la mawaziri lililopita.






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...