Search This Blog

Monday, November 16, 2020

Maandamano yaua watu wawili Peru, Rais wa mpito atangaza kjiuzulu

 


Wananchi wamefurahi baada ya Manuel Merino kutangaza kujiuzulu ikiwa ni siku chache tangu kuchaguliwa baada ya Bunge kumtoa Madarakani Rais Martin Vizcarra

Merino alitangaza uamuzi huo kwenye Runinga na kusema ni kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa. Tayari Mawaziri 9 kati ya 18 wamejiuzulu kufuatia vifo vya watu 2 vilivyotokana na mvutano baina ya Polisi na waandamanaji

Mtandao wa #HakiZaBinadamu umesema watu 112 wameumizwa huku wengine 41 wakiwa hawajulikani walipo. Waziri Mkuu wa #Peru, Antero Flores-Araoz amesema Vizcarra ameondolewa kwa mujibu wa Sheria



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...