Search This Blog

Wednesday, November 25, 2020

Diamond Platinumz:Tangu utotoni Koffi Olomide ndio msanii wangu bora


Mwanamuziki maarufu nchini Tanzania Diamond Platinumz ameachia kibao kipya alichomshirikisha mwanamuziki nguli kutoka Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo Koffi Olomide kinachojulikna kama Waah!!!

Hamida abubakar Amezungumza nae kutaka kufahamu kwanini aliamua kufanya ushirikiano na msanii huyo.

Miongoni mwa wasanii ambao wameshirikiana na diamond kimziki ni pamoja na Innoss B,Fally Ipupa na ya Levis



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...