Search This Blog

Friday, November 27, 2020

Binti wa Jerry Rawlings aonya kuhusu uchangishaji wa pesa za mazishi


Binti mkubwa wa rais wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings ametoa onyo dhidi ya wezi wa mtandaoni wanaodai kuwa wanachangisha pesa kwa ajili ya mazishi ya baba yake.

Katika taarifa yake aliyoituma kwenye mtandao wa Facebook siku ya Alhamisi Zanetor Rawlings, alisema akaunti gushi za mitandao ya kijamii zimebuniwa kwa ajili ya kukusanya pesa

Amesema kuwa wezi wanawalenga wale wanaomtumia salamu za rambirambi kufuatia kifo cha baba yake.

Bi Rawlings ni mbunge wa jimbo la Klottey Korle katika bunge la Ghana.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...