Search This Blog

Monday, November 16, 2020

Biden:'Watu wanaweza kufa' wakati Trump anaondoka madarakani


Joe Biden ametoa angalizo kuwa "watu wanaweza kufa" kama rais aliye madarakani ataendelea kuwa kuzuizi.

Akizungumza na Delaware, rais mteule alisema ushirikiano aliokuwa anauhitaji ni kukabiliana na mlipuko wa janga la corona.

Kitendo cha Rais Trump kukubali kuwa ameshindwa uchaguzi licha ya jitihada zake kugonga mwamba.

"Huu si mchezo," mke wa rais wa zamani Michelle Obama aliandika katika mitandao ya kijamii

Rais mteule alipata kura 306 kutoka kwa wajumbe wa uchaguzi , na kuzidi hata kiwango kilichowekwa cha ushindi cha kura 270.

Ingawa Trump, wa Republican, aliandika kwenye tweeter Jumatatu asubuhi : "Nimeshinda uchaguzi!"

Kampeni za Trump zilipeleka madai ya kura za uchaguzi wa Novemba 3, kuibiwa katika hatua za kisheria.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...