Search This Blog

Friday, October 9, 2020

ZIARA YA UKAGUZI KUELEKEA UCHAGUZI MKUUOKTOBA 2020







Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt Mussa Ali Mussa yupo katika muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya kusini ya kukagua maandalizi ya mpango kazi wa usimamizi wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2020.

Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt Mussa Ali Mussa akiongea na wananchi wa Kijiji Cha Kitaya Kata ya Kitaya Wilaya ya Mtwara vijijini mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...