Search This Blog

Saturday, October 10, 2020

Shilole kafunguka ya penzi jipya “Kuna mtu anayeumia kwani..?"


Shilole kwa mara ya kwanza amezungumzia ishu yake na mpiga picha wake baada ya kuonekana wakila Bata peke yao huku zikiwepo taarifa kuwa wawili hawa wana toka kimapenzi ambapo Shishi amesema

“Kuna mtu anayeumia kwani..? Bata anakula mtu yeyote, tatizo watanzania wanapenda kuunganisha matukio, hatuna lolote linaloendelea sisi tupo kazini ni Picha tu, Mpiga Picha wangu Nampenda, Yupo vizuri kila Sekta” – Shilole



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...