Search This Blog

Wednesday, October 7, 2020

Roma aumizwa na ongezeko la show za wasanii wa Nigeria nchini

 


Rapper Ibrahim Mussa a.k.a Roma Mkatoliki Roma_zimbabwe ameshindwa kuzuia hisia zake kutokana na wingi wa wasanii kutoka Nigeria kuja kupiga show nchini Tanzania.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Roma amesema ujio huo ni mbaya kwenye tasnia yetu kwani unaumiza wasanii wa ndani ambao amekiri kuwa wanauwezo mkubwa kuliko hata hao Wanaijeria.

Akiendelea kutoa hoja, #Roma amesema ukitoa lugha wanayotumia ya Kiingereza haoni chochote kile wanachokiimba ambacho hakifanywi na wasanii wetu hapa Bongo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...