Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Rais wa FIFA apata Corona


Rais wa shirikisho la soka duniani (FIFA) amethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona na sasa amejitenga ili kuangalia afya yake.

Infantino mwenye umri wa miaka 50 sasa amelazimika kujitenga kwa walau siku 10 kabla ya kupimwa tena kuhusiana na mwenendo wa afya yake.

Pamoja na Inafantino kujitenga lakini FIFA tayari imesema imewapa taarifa watu wote waliokutana na Infantino siku chache kabla ya kuthibitika kuumwa na kuwataka wachukue hatua stahiki.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...