Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Rais Magufuli amepiga kura kijiji cha Chamwino Ikulu mkoani Dodoma

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwaongoza watanzania kupiga kura katika kituo cha Idara ya Maji kijiji cha Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Jumatano Oktoba 28,2020 katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika nchini kote.


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli akijiandaa kupiga kura katika kituo cha Idara ya Maji kijiji cha Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Jumatano Oktoba 28,2020.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akipiga kura katika kituo cha Idara ya Maji kijiji cha Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Jumatano Oktoba 28,2020.


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli na mke wake Mama Janeth Magufuli wakisubiri kukabidhiwa karatasi za kupigia kura katika katika kituo cha Idara ya Maji kijiji cha Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Jumatano Oktoba 28,2020.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli akiingia kwenye kituo cha kupigia kura mara baada ya zamu yake kufika.

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiingia kwenye kituo cha kupigia kura mara baada ya zamu yake kufika ili kupiga kura.

Picha mbalimbali zikionesha mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli na mke wake Mama Janeth Magufuli wakiwa kwenye foleni pamoja na wananchi kwa ajili ya kupiga kura katika kijiji cha Ikulu Chamwino mkoani Dodoma



Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupiga kura katika kijiji cha Ikulu Chamwino kushoto ni  mke wake Mama Janeth Magufuli.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli akionesha kidole chake kama uthibitisho wa kupiga kura yake kushoto ni  mke wake Mama Janeth Magufuli.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kupiga kura yake katika kijiji cha Ikulu Chamwino leo asubuhi.






 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...