Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli pamoja na Mkewe Wapiga Kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Idara ya Maji Chamwino, Dodoma

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amefika katika kituo chake cha kupigia kura Chamwino Ikulu na kupiga kura yake mapema asubuhi hii

Akizungumza baada ya kupiga kura, Magufuli amesema; “Napenda niwapongeze wasimamizi wa uchaguzi hapa Chamwino; maandalizi yalikuwa mazuri na watu wamejitokeza kwa wingi, wito wangu kwa Watanzania tujitokeze kwa wingi kupiga kura pia nipende kusisitiza amani.”


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...