Search This Blog

Saturday, October 24, 2020

Producer Luffa Afunguka GONJWA Lililokuwa Linamsumbua


Mtayarishaji wa muziki hapa nchini, Luffa amefunguka mengi juu ya kuumwa kwake, kwenye mahojiano na Planet Bongo ya East Africa Radio leo amesema

"Niliumwa kama miezi 8, nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa wa 'Appendix' na pafu moja lilikuwa limejaa maji ila namshukuru Mungu sasa hivi nime-recover" - Producer Luffa



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...