Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Priscus Tarimo (CCM) Ashinda Ubunge Jimbo la Moshi Mjini


 Mgombea wa CCM, Priscus Tarimo ameshinda ubunge Jimbo la Moshi Mjini kwa kupata kura 31,169 akifuatiwa na Raymond Mboya (CHADEMA) aliyepata kura 22,555.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...