Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Njombe Mjini mshindi ni Deodatus Mwanyika


Msimamizi wa Uchaguzi katika Jimbo la Njombe Mjini amemtangaza Deodatus Mwanyika wa Chama Cha Mapinduzi kuwa mshindi wa ubunge wa Jimbo hilo kwa kupata kura 29,553 akifuatiwa na mshindani wake Emmanuel Masonga (CHADEMA) akipata kura 5,940.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...