Search This Blog

Tuesday, October 13, 2020

MHE RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI ASHUHUDIA KUKABIDHIWA KWA GAWIO KUTOKA KAMPUNI YA TWIGA NA STAMICO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wageni waalikwa na wadau wa madini wakati wa hafla ya kupokea gawio toka kwa kampuni ya Madini ya TWIGA na Shirika la Madini la Taifa  (STAMICO)  katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam .   Rais wa Jamhuri ya Muungano […]

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...