Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Majaliwa apiga kura kijijini kwake Nandagala wilayani Ruangwa

Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa  akipiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Shule ya Msingi ya Nandagala wilayani Ruangwa, Oktoba 28, 2020.
Mama Mary Majaliwa, Mke wa Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akihakiki kadi yake ya kupigia kura kwa  Msimamizi wa Kituo cha Kupigia Kura cha Shule ya Msingi ya Nandagala wilayani Ruangwa, Shadia Ibrahim (kushoto)   kabla ya kupiga kura kituoni hapo Oktoba 28, 2020.

Mama Mary Majaliwa, Mke wa Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa  akipiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Shule ya Msingi ya Nandagala wilayani Ruangwa, Oktoba 28, 2020.

Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (aliyesimama mbele yake) wakiwa wamejipanga kusubiri zamu yao ya kugia katika Kituo cha Kupigia Kura cha Shule ya Msingi Nandagala wilayani Ruangwa, Oktoba 28, 2020.

Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kupiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Shule ya Msingi ya Nandagala wilayani Ruangwa.



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...