Search This Blog

Sunday, October 11, 2020

Los Angeles Lakers yashinda ubingwa wa NBA



Ubingwa huo ni wa 17 katika historia ya LA Lakers na ubingwa wa nne wa NBA kwa nyota wa timu hiyo LeBron James ambaye sasa ameshinda ubingwa akiwa na timu tatu tofauti.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...