Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov zungumza na rais wa Serbia kuhusu uamuzi wa kfungua ubalozi wake Yerusalemu.
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lvrov azungumza kwa nia ya simu na rais wa Serbia Aleksandar Vucic.
Taarifa kuttoka wizara y a mambo ya nje ya Urusi zimefahamisha kwamba mazungumzo kati ya viongozi hao wawili yamegubikwa na uamuzi uliochukuliwa na Serbia kufungua ubalozi wake mjini Yerusalmu Israel.
Israel kutangaza kwamba Yerusalmu ndio mji wake mkuu mwaka uliopita kulipelekea mvutano mkali wa kidiplomasia Umoja wa Mataifa kati ya mataifa wanachama.
Baadhi ya mataifa yaliunga mkono uamuzi huo wa Israel huku mataifa mengine ikiwemo Uturuki yalipiga uamuzi huo ambao ilitaja kuwa kinyume na makubaliano ya kimataifa kuhusu mzozo wa Mashariki ya Kati.
Serbia kwa upande wake pia imetangaza kwamba unafungua ubalozi wake mjini Yerusalemu.

No comments:
Post a Comment