Search This Blog
Sunday, September 13, 2020
“Sijapigwa risasi tu, nimepigwa kiuchumi” Tundu Lissu
Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Tundu Lissu katika kampeni zake zilizofanyika mkoani Morogoro leo Septemba 11,2020, amevitaja vipaumbele vyake ambavyo ni haki , usawa na maendeleo ya watu.
Akizungumza katika kampeni hizo amewataka wananchi hao kufanya maamuzi sahihi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu ili kupata Rais mwenye kujali uhuru na kuleta maendeleo.
“Niwaombe wana Morogoro muwachague viongozi waliobaki na ambao watarudishwa kwenye rufaa muwapigie kura ili mpate maendeleo” Lissu
“Sijapigwa risasi tu, nimepigwa kiuchumi, nilikua Mbunge na mnajua ulipoishia sasa hii kampeni tunaimalizaje inabidi tusaidiane, mimi nawaombeni mtuchangie sioni aibu” Lissu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment