Search This Blog

Sunday, September 13, 2020

“Sijapigwa risasi tu, nimepigwa kiuchumi” Tundu Lissu



Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Tundu Lissu katika kampeni zake zilizofanyika mkoani  Morogoro leo  Septemba 11,2020, amevitaja vipaumbele vyake ambavyo ni haki , usawa na maendeleo ya watu.

Akizungumza katika kampeni hizo amewataka wananchi hao kufanya maamuzi sahihi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu ili kupata Rais mwenye kujali uhuru na  kuleta maendeleo.

“Niwaombe wana Morogoro muwachague viongozi waliobaki na ambao watarudishwa kwenye rufaa muwapigie kura ili mpate maendeleo” Lissu

 “Sijapigwa risasi tu, nimepigwa kiuchumi, nilikua Mbunge na mnajua ulipoishia sasa hii kampeni tunaimalizaje inabidi tusaidiane, mimi nawaombeni mtuchangie sioni aibu” Lissu

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...