Search This Blog

Thursday, September 17, 2020

Neymar afungiwa game mbili


Staa wa PSG Neymar amefungiwa mechi 2 kutokana na kadi nyekundu aliyooneshwa katika mchezo dhidi ya Marseille mchezo wa Ligi Kuu Ufaransa.

Kwenye game hiyo PSG walipoteza  1-0, huku Neymar akioneshwa kadi nyekundu baada ya kuzinguana na Alvaro Gonzalez anayedai kuwa alimbagua kwa kumuita nyani.

Baada ya adhabu hiyo kwa Neymar uchunguzi umeanza kubaini kama Alvaro alifanya kweli kitendo hicho kisichocha kiungwana lakini PSG pia wameanza uchunguzi wao binafsi kuthibitisha kuwa Neymar alibaguliwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...