Search This Blog

Monday, September 21, 2020

MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara ulivyo kwa sasa Banda ya Mechi za Jana





MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara ulivyo kwa sasa ikiwa ni mzunguko wa tatu umeanza kutimua vumbi kabla ya leo mechi nyingine kuendelea kwa timu kusaka pointi tatu muhimu.

Mbeya City bao wanajenga ushkaji na nafasi ya 18 baada ya kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 mbele ya Azam FC, Uwanja wa Sokoine na Azam wanakamata usukani kwa sasa namna hii:-






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...