Ibrahim Kalın, msemaji wa ikulu ya rais wa Uturuki amezungumza kwa njia ya simu na mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani Robert C. Brien.
Kulingana na taarifa zilizotolewa na kitengo kinachohuiskana na upashaji habari ikulu , imefahamishwa kwamba Ibrahim Kalin amezungumza O Brien kuhusu ushirikiano kati ya Uturuki na Marekani na masuala muhimu katika ukanda wa Mediterania Mashariki.
Katika mazungumzo yao, Ibrahim Kalın amesema kwamba Uturuki haina haja kuibua mzozo na mvutano katika bahari ya Mediterania.
Kalın amesema uwa rais Erdoğan amezungumza pia kuhusu usawa katika ukanda.
Ugiriki inatuhumiwa na Uturuki kuzua mgogoro na kwenda kinyume na makubaliano ya kimataifa.

No comments:
Post a Comment