Search This Blog

Monday, September 14, 2020

Breaking News: Moto wateketeza bweni la shule ya msingi Byamungu Islamic kagera, wanafunzi kumi wafariki na saba wajeruiwa


Na Clavery Christian Kyerwa Kagera.

Wanafunzi Kumi wa shule ya msingi Byamungu Islamic wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya moto ulioteketeza bweni la shule hiyo majira ya saa sita usiku wa kuamkia leo katika wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera.

Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Kagera chini ya mkuu wa mkoa imedhibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa upelelezi unaendelea ili kuweza kubaini chanzo cha moto huo na madhara mengine yaliyotokea.

Kwa habari zaidi endelea kufuatilia Muungwana Blog 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...