Search This Blog
Sunday, August 9, 2020
Wema Sepetu : Sina ‘Tatuu’ ya Mwanaume Mwilini Mwangu
STAA mwenye jina kubwa Bongo, Wema Sepetu amefunguka kuwa kamwe hawezi kuchora tatuu ya jina la mwanaume mwingine yeyote kwenye mwili wake zaidi ya baba yake mzazi.
Akizungumza na AMANI, Wema alisema hata mwanaume afanye maajabu gani katika maisha yake, hawezi kumchora mwanaune yoyote kwenye mwili wake zaidi wazazi wake.
“Yaani mwanaume ambaye nimempa nafasi ya kumchora kwenye mwili wangu ni baba yangu peke yake na si mtu mwingine maana sijaona maajabu aliyofanya mwanaume kwangu mpaka nimchore. Hata akiyafanya bado hana nafasi ya kumchora kwenye mwili wangu maana hawaaminiki” alisema Wema.
Stori: Imelda Mtema
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment