Search This Blog
Sunday, August 9, 2020
Wastara: Nisingekuwa Jasiri Ningeshakufa Siku Nyingi
STAA wa fi lamu ambaye amepitia misukosuko mingi kwenye maisha yake, Wastara Juma amefunguka kuwa kama asingekuwa mwanamke jasiri maishani mwake angekuwa amekufa siku nyingi.
Akizungumza na AMANI staa huyo alisema kuwa wanawake wengi wanapokutana na magumu maishani wanakata tamaa haraka na wengine hata kufi kia hatua ya kujitoa uhai.
“Unajua siku zote nikiangalia maisha niliyopitia kwa kweli nabaki najiuliza maswali mengi na ninajua wazi kama sio moyo wangu kubeba ujasiri ningeshaondoka kwenye dunia hii, hili liwe fundisho kwa wanawake wengine wengi,” alisema Wastara.
Stori: Imelda Mtema
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment