Search This Blog

Monday, August 3, 2020

Waziri wa mambo ya nje wa Lebanon ajiuzulu

Waziri wa Mambo ya nje wa Lebanon Nassif Hitti amewasilisha barua ya kujiuzulu kwake kwa Waziri Mkuu Hassan Diyab.

Afisa wa serikali, ambaye hakutaka jina lake litajwe, amesema kwamba Waziri wa Mambo ya nje Hitti aliwasilisha barua ya kujiuzulu kwake kwa Waziri Mkuu Diyab.

Kwa mujibu wa habari waziri huyo amesema kwamba kujiuzulu kwake ni hatua ya mwisho isiyoweza kubadilishwa.

Hitti bado hajatoa taarifa kuhusu sababu ya kujiuzulu.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...