Waziri Ummy amepewa tuzo hiyo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) unaoendelea leo Tarehe 10 Agosti, 2020 katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma.
Search This Blog
Monday, August 10, 2020
Waziri Ummy walimu apewa tuzo kwa jitihada za kukabiliana na corona
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amemtunuku tuzo maalum Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu kwa kutambua mchango wake na kuwakilisha Wanawake vizuri katika majukumu yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment