Search This Blog

Monday, August 10, 2020

Waziri Ummy walimu apewa tuzo kwa jitihada za kukabiliana na corona

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amemtunuku tuzo maalum Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu kwa kutambua mchango wake na kuwakilisha Wanawake vizuri katika majukumu yake.


Waziri Ummy amepewa tuzo hiyo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) unaoendelea leo Tarehe 10 Agosti, 2020 katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...