Search This Blog

Thursday, August 13, 2020

Waziri Mwakyembe apongezi uhifadhi wa historia ya majimaji Songea

 

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe

akiangalia Baadhi ya kumbukumbu za Mashujaa waliouwawa wakati wa vita ya

Majimaji ya nwaka 1905 hadi mwaka 1907 ilivyokua na lengo la kuupinga ukoloni wa

kijerumani yaliopo Songea mkoani Ruvuma, ambapo amepongeza namna ambavyo

kumbukumbu hizo zimehifadhiwa na kuvutia utalii wa kiutamaduni pamoja na

uhifadhi wa mali kale mnamo Agosti 13,2020.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...