Agizo hilo limetolewa jijini Dodoma na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, wakati alipokuwa akifungua jengo la uchunguzi wa kiintelejensia linalomilikiwa na TAKUKURU, kwa ajili ya uendeshaji wa shuguli zake.
Aidha, Waziri Mkuu akachukua wasaa huo pia kuwasihi wanasiasa wenzake, wanaowania nafasi mbalimbali za uongozi, kujiepusha na vitendo vya rushwa, ili waweze kupata nafasi hizo wanazowania.

No comments:
Post a Comment