Search This Blog
Tuesday, August 25, 2020
NEC Yamteua Hashim Rungwe kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania Kwa Tiketi ya chama cha CHAUMMA.
Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa, amemteua Hashim Rungwe kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mohammed Masoud kuwa mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais kupitia chama cha CHAUMMA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment