Search This Blog

Tuesday, August 25, 2020

NEC Yamteua Bernard Membe kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Bernard Membe kuwa mgombea urais  wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, 2020.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...