Search This Blog

Tuesday, August 4, 2020

Ndege Kubwa Kubwa za Kimataifa Zaendelea Kutua Tanzania Licha ya Corona Kuitesa Dunia

Tanzania inaendelea kushuhudia ndege kubwa za kimataifa zikiendelea kuwasili katika viwanja vyake vya ndege tangu Rais @MagufuliJP kutangaza na kuruhusu viwanja vya ndege kufunguliwa baada ya changamoto ya Janga la Corona.

Unazoziona ni Baadhi ya ndege kubwa kama zilivyokutwa leo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es salaam.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...