Tanzania inaendelea kushuhudia ndege kubwa za kimataifa zikiendelea kuwasili katika viwanja vyake vya ndege tangu Rais @MagufuliJP kutangaza na kuruhusu viwanja vya ndege kufunguliwa baada ya changamoto ya Janga la Corona.
Unazoziona ni Baadhi ya ndege kubwa kama zilivyokutwa leo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es salaam.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment