Search This Blog

Tuesday, August 4, 2020

Askari Apandishwa CHEO Baada ya Kukarabati Nyumba ya Jeshi la Magereza Kwa Mshahara Wake



CGP - Suleiman Mzee mapema Jana amempandisha cheo Askari Na. 4162 Wdrs Nezia Maingu wa Gereza Ludewa kuwa Koplo wa Magereza kutokana na kujitolea kukarabati nyumba ya Jeshi anayoishi kwa fedha zake binafsi kitendo ambacho ni Uzalendo na moyo wa kujitolea Jeshini.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...