Search This Blog
Tuesday, August 4, 2020
Askari Apandishwa CHEO Baada ya Kukarabati Nyumba ya Jeshi la Magereza Kwa Mshahara Wake
CGP - Suleiman Mzee mapema Jana amempandisha cheo Askari Na. 4162 Wdrs Nezia Maingu wa Gereza Ludewa kuwa Koplo wa Magereza kutokana na kujitolea kukarabati nyumba ya Jeshi anayoishi kwa fedha zake binafsi kitendo ambacho ni Uzalendo na moyo wa kujitolea Jeshini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment