Search This Blog

Sunday, August 16, 2020

Nape: Washindani Wakituchokoza Hatuwezi Kuwachekea


Mgombea Ubunge wa jimbo la Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema washindani wakiwachokoza hawawezi kuwaacha.

Nape aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter akimjibu Maria Sarungi.

“Umetumia maneno sahihi kabisa/ you have used exactly words and meaning. Siwezi kusema kuwa eti washindani wakituchokoza tutawachekea hapana nitakuwa mnafiki na hilo wanijua vyema siwezi,” aliandika Nape.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...