Search This Blog

Tuesday, August 11, 2020

Nape Nnauye Atoa Mpya "Kwenye Siasa Ukiona Unapiga Kelele Hujibiwi Kinachofuata ni Majanga"


Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amesema kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwi unatakiwa kufikiri mara mbili.

Nape aliandika ujumbe huo leo katika ukurasa wake wa kijamii wa Twitter ” Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuata inawea kuwa majanga,”.

Kiongoi huyo ambaye alishawahi kuwa Katibu wa Itikati na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  aliandika ujumbe huu “Kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwa fikiri mara mbili! Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuatia inaweza kuwa ni majanga,”.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...