Search This Blog
Tuesday, August 11, 2020
Baada Ya Morrison Yanga Wapata Pigo Jingine
Klabu ya Yanga ikiwa bado inaendelea sakata la Morrison wanaweza kujikuta kwenye kigingi kingine baada ya msemaji wa klabu ya Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru kuweka wazi kuwa mchezaji aliyetambulishwa na klabu hiyo hivi karibuni Kibwana Shomary bado ana mkataba na Mtibwa.
Akizungumza na kituo kimoja cha redio mjini Morogoro kifaru amesema bado mchezaji huyo ana mktaba na Mtibwa na Yanga wamevunja sheria za soka nchini kwa kumtangaza Kibwana bila kuwasiliana na Mtibwa Sugar
“Nitaongea na viongozi kujua inakuje Yanga wanamtambulisha mchezaj ambaye ana mkataba na sisi maan kama sheria za soka nchini zinajulikana na zifuatwe nitapata ufafanuzi kutoka kwa wanasheria na utaratibu utafuata, bado Shomary ni mdog na yanga wameshawishi tu ndo kakubari” amesema Kifaru.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment