Search This Blog

Monday, August 10, 2020

Muigizaji mashuhuru wa kimataifa Antonio Banderas agunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi vya corona

Muigizaji mashuruku wa kimataifa Antonio Banderas amepimwa na kugunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi vya corona.


Muigizaji huyo mwenye umri wa miaka  60 ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kwamba amegunduliwa kuwa na maambukizi na anaendelea vema baada ya kujitenga ili kuzuia maambukizi kwa watu wake wa karibu.


Katika ujumbe wake huo aliotoa  katika ukurasa wake wa Twitter,Banderas amesema kuwa  kwa  sasa anajisikia vema licha ya mchoko aliokuwa nao na ana imani kuwa atakuwa na afya njema baada ya kupatiwa matibabu.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...